Baada ya kila mtu kumlaumu Scott Disick kwa kumtelekeza mke na watoto wake..na baada ya Kourtney Kardashian kupitia mahusiano ya muda mfupi..love wins..ndege hao wawili wamerejea kwenye kiota kuunganisha tena familia ya mama, baba na watoto.
Wawili hao walionekana kuwa na furaha kuliko hapo awali.
Tumefurahi sana kuiunganisha familia tena..tukiwa na matumaini kwamba migogoro yote kati ya wanandoa yoyote itaisha na ukaribu na upendo vitarejea kwa kila familia.