watu mashuhuri
Rihanna ajifungua mtoto wake wa kwanza na Aesap Rocky
Rihanna ajifungua mtoto wake wa kwanza na Aesap Rocky
Supastaa wa kimataifa Rihanna amejifungua mtoto wake wa kwanza na mpenzi wake, mwimbaji Aesap Rocky.
Jinsia ya kuzaliwa bado haijatangazwa, lakini awali ilitarajiwa kuwa amejifungua mtoto wa kike, baada ya kuonekana mara kadhaa madukani akinunua nguo za wasichana.
Hata hivyo tmz imefichua kuwa Rihanna hakujifungua jana kama ilivyotangazwa bali alijifungua May XNUMX na alijifungua mtoto wa kiume.
Rihanna ndiye msanii tajiri zaidi duniani, na hii ni bahati yake kubwa