Picha
Tabia sita zinazoharibu figo
Tabia sita zinazoharibu figo
1- Kutokunywa maji ya kutosha
2- Kula nyama nyekundu kwa wingi
3- Kula chumvi nyingi
4- Kupuuza matibabu ya magonjwa ya mfumo wa mkojo
5- Kunywa dawa nyingi hasa za kutuliza maumivu
6- Kuhifadhi kinyesi kwa muda mrefu